KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA AFYA NA MASUALA YA UKIMWI YAZURU TFNC

 

Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bw. Obbey Assery akizungumza wakati ziara hiyo na kutoa rai kwa wabunge kulisemea suala la lishe katika ngazi ya Taifa (Bungeni,) na katika ngazi ya Halmashauri kupitia mabaraza ya madiwani. Leo jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Bodi ya Usimamizi ya Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Bw. Obbey Assery akizungumza wakati ziara hiyo na kutoa rai kwa wabunge kulisemea suala la lishe katika ngazi ya Taifa (Bungeni,) na katika ngazi ya Halmashauri kupitia mabaraza ya madiwani.Ziara hiyo imefanyika Septemba 12, 20



viongozi wa Taasisi ya Chakula na Lishe (hawapo pichani) baada ya  na Lishe Tanzania ikiwa ni ziara ya kujifunza na kuona shughuli mbalimbali zinazofanywa na Taasisi hiyo. Leo jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt. Germana Leyna akitoa mada kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI iliyotembelea Taasisi hiyo kwa lengo la kujifunza na kuona shughuli zinazofanywa na taasisi hiyo. Leo jijini Dar es Salaam.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania mara baada ya kuhitimisha ziara hiyo, Leo jijini Dar es Salaam.


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MATOKEO YA UTAFITI WA HALI YA LISHE YA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI YATOLEWA

TFNC YAIBUKA MSHINDI WA JUMLA MAONESHO YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI.

WANAFUNZI WANYWE MAZIWA SHULENI-UMMY MWALIMU.