TFNC YAIBUKA MSHINDI WA JUMLA MAONESHO YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI.
TFNC
YAIBUKA MSHINDI WA JUMLA MAONESHO YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI 2020.
Waziri wa Kilimo, Mhe.
Japhet Hasunga (wa kwanza kushoto) akikabidhi zawadi ya mshindi wa jumla wa
maonesho ya maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani kwa mwaka wa 2020 yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe kwa
Bi Adeline Munuo kutoka Taasisi ya
Chakula na Lishe Tanzania, mara baada ya Taasisi hiyo kuibuka mshindi wa Jumla
katika maonesho hayo yaliyofanyika katika Viwanja vya Lunyanyo mkoani humo.
Afisa Lishe Mtafiti
Mwandamizi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Adeline Munuo, akiwa
pamoja na wafanyakazi wengine wa Taasisi hiyo, wakishangilia mara baada ya
kupokea tuzo ya Ushindi wa jumla ya Maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya chakula
Duniani kwa mwaka wa 2020 kutoka kwa Waziri wa kilimo Japhet Hasunga (Mwenye
suti nyeusi), ambaye aliitimisha maadhimisho hayo, ambayo kitaifa yamefanyika
mkoani Njombe.
Mmetisha kama monsterDinosaurussimba
JibuFuta