KAMATI YA WATAALAMU MRADI WA IMAN WAKUTANA DODOMA
Wajumbe wa kamati ya Wataalamu ya kusimamia utekelezaji wa mradi wa kuboresha lishe ya wanawake wajawazito wamekutana leo Machi 23, 2023 jijini Dodoma, kwenye kikao kazi cha kujadili utekelezaji wa masuala mbalimbali ya mradi huo.
Kikao kazi hicho hicho kimeshirikisha wataalamu kutoka Wizara ya Afya, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, UNICEF, CRS, IHI, COUNSENUTH na MUHAS
Maoni
Chapisha Maoni