WAZIRI UMMY MWALIMU AZINDUA RASMI SIKU YA LISHE, SASA KUADHMISHWA KILA MWAKA KUANZIA NGAZI YA WILAYA HADI TAIFA.
WAZIRI UMMY MWALIMU AZINDUA RASMI SIKU YA LISHE, SASA KUADHIMISHWA KILA MWAKA KUANZIA NGAZI YA WILAYA HADI TAIFA.
Waziri wa Afya, Maendeleo
ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, akikata utepe kwenye Piramidi ya Lishe, ambayo imebebea mfano wa
Vyakula kutoka kwenye makundi matano ya Chakula, kuashiria kuzinduliwa rasmi
kwa Siku ya Lishe, huku Naibu katibu mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Dkt Doroth Gwajima (mwenye skafu) akishuhudua Uzinduzihuo ambao umefanyika
mkoani Dodoma katika viwanja vya Nyerere Square.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, akizungumza na Wananchi wa jiji la Dodoma na Wadau wa Lishe, (Hawapo Pichani) wakati wa uzinduzi wa siku ya lishe, ambayo kitaifa imefanyika jijini humo.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Dkt Gwajima akizungumza wakati wa uzinduzi wa siku ya Lishe uliofanyika Jiji Dodoma, ambapo amewataka watumishi walio chini ya Ofisi yake kuzingatia maelekezo yaliyotolewa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, ili kuhakikisha Watanzania wote wanafuata njia za sahihi zitakazowawezesha kuwa na lishe bora.
Maoni
Chapisha Maoni