TFNC YAWANOA WAANDISHI WA HABARI ZA AFYA NCHINI.

TAAASISI YA CHAKULA NA LISHE TANZANIA, YATOA MAFUNZO KWA WANAHABARI, KUHUSU LISHE SAHIHI KATIKA KUKABILIANA NA COVID- 19.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) Dkt: Germana Leyna, akizungumza na Waandishi wa Habari za lishe kutoka vyombo mbalimbali nchini(Hawapo pichani), wakati wa ufunguzi wa semina ya wanahabari hao, juu ya Lishe katika maambukizi ya Virusi vya Corona.



Baadhi ya Wandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali, wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Dkt: Germana Leyna wakati wa ufunguzi wa Semina kwa wanahabari juu ya Lishe katika maambukizi ya Virusi vya Corona.


Afisa lishe mtafiti Mwandamizi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) Medina Wandella, akiwasilisha mada ya matumizi ya matunda na viungo katika kukabiliana na dalili za ugonjwa wa Covid-19, kwa waandishi wa habari za afya, wakati wa semina ya wanahabari hao, iliyohusu Lishe sahihi inayotumika katika kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MATOKEO YA UTAFITI WA HALI YA LISHE YA WANAFUNZI SHULE YA MSINGI YATOLEWA

TFNC YAIBUKA MSHINDI WA JUMLA MAONESHO YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI.

WANAFUNZI WANYWE MAZIWA SHULENI-UMMY MWALIMU.