Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti 1, 2020

WAZIRI UMMY MWALIMU AZINDUA RASMI SIKU YA LISHE, SASA KUADHMISHWA KILA MWAKA KUANZIA NGAZI YA WILAYA HADI TAIFA.

Picha
  WAZIRI UMMY MWALIMU AZINDUA RASMI SIKU YA LISHE, SASA KUADHIMISHWA KILA MWAKA KUANZIA NGAZI YA WILAYA HADI TAIFA. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, akikata utepe kwenye  Piramidi ya Lishe, ambayo imebebea mfano wa Vyakula kutoka kwenye makundi matano ya Chakula, kuashiria kuzinduliwa rasmi kwa  Siku ya Lishe, huku Naibu katibu mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Dkt Doroth Gwajima (mwenye skafu) akishuhudua Uzinduzihuo  ambao umefanyika mkoani Dodoma katika viwanja vya Nyerere Square. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu (Kulia), na Naibu katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI Dkt. Doroth Gwajima (Kushoto) wakipokea maelezo ya vyakula vilivyopo kwenye Piramidi ya Lishe,kutoka kwa Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi Rose Msaki, mara baada ya kuzindua rasmi siku ya Lishe iliyofanyika  kitaifa Jijini Dodoma. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu, akizungumza na Wananchi wa jiji la Dodoma na Wad

TAASISI YA CHAKULA NA LISHE YATOA MAFUNZO KWA WANAHABARI KUHUSU UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA

Picha
TAASISI YA CHAKULA NA LISHE YATOA MAFUNZO KWA WANAHABARI KUHUSU UNYONYESHAJI WA MAZIWA YA MAMA WANAHABARI nchini wametakiwa kutumia taaluma yao vizuri katika kuikumbusha jamii kuwa na uwajibu katika kuwawezesha wazazi kufanikisha unyonyeshaji ili kuboresha hali ya lishe ya watoto na kuendeleza nguvu kazi yenye tija kwa ajili ya maendeleo endelevu ya Taifa. Akizungumza wakati akifungua semina  ya siku moja ya wanahabari, Mkurugenzi wa Elimu na Mafunzo ya Lishe, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania, Bi Sikitu Simon Kihinga, amesema kuwa vizuri kuyatumia vyema yale watakayojifunza ili kuendelea kutoa taarifa sahihi na kuhamasisha jamii kuhusu masuala ya lishe Mkurugenzi wa Elimu na Mafunzo ya Lishe, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania, Bi Sikitu Simon Kihinga (kushoto) akiwafundisha waandishi wa habari dhana ya wiki ya unyonyeshaji  maziwa ya mama Duniani, semina iliyofanyika  katika ukumbi wa Taasiisi ya Chakula na Lishe Tanzania. Bi. Kihinga amesema kuwa semina hiyo kwa wan