Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba 16, 2020

TFNC YAIBUKA MSHINDI WA JUMLA MAONESHO YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI.

Picha
  TFNC YAIBUKA MSHINDI WA JUMLA MAONESHO YA SIKU YA CHAKULA DUNIANI 2020. Waziri wa Kilimo, Mhe. Japhet Hasunga (wa kwanza kushoto) akikabidhi zawadi ya mshindi wa jumla wa maonesho ya maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani kwa mwaka wa  2020 yaliyofanyika kitaifa mkoani Njombe kwa Bi Adeline Munuo kutoka  Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania, mara baada ya Taasisi hiyo kuibuka mshindi wa Jumla katika maonesho hayo yaliyofanyika katika Viwanja vya Lunyanyo mkoani humo. Afisa Lishe Mtafiti Mwandamizi kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Adeline Munuo, akiwa pamoja na wafanyakazi wengine wa Taasisi hiyo, wakishangilia mara baada ya kupokea tuzo ya Ushindi wa jumla ya  Maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya chakula Duniani kwa mwaka wa 2020 kutoka kwa Waziri wa kilimo Japhet Hasunga (Mwenye suti nyeusi), ambaye aliitimisha maadhimisho hayo, ambayo kitaifa yamefanyika mkoani Njombe. Afisa Lishe Mtafiti wa Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania Elizabeth Lyimo, akifurahi ushindi wa Taasi