TFNC, KWA KUSHIRIKIANA NA MUHAS, SUA, TBS KWA KUPITIA UFADHILI WA WFP WAZINDUA MRADI WA KUTENGENEZA VYAKULA VYA NYONGEZA KWA WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 5
TFNC, KWA KUSHIRIKIANA NA MUHAS, SUA, TBS KWA KUPITIA UFADHILI WA WFP WAZINDUA MRADI WA KUTENGENEZA VYAKULA VYA NYONGEZA KWA WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 5 Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Chakula na Lishe Dk. Germana Leyna akiwasilisha taarifa ya mradi wa Kutengenezaa vyakula vya nyongeza kwa watoto wenye umri chini ya Miaka mitano kwa wadau wa lishe (Hawapo pichani) wakati wa Uzinduzi wa mradi huo mkoani Morogoro, ambao utatekelezwa na Taasisi hiyo kwa kushirikiana na SUA, MUHAS na TBS kupitia ufadhili wa WFP Baadhi ya Viongezi wa Taasisi zinazoshiriki kwenye mradi wa kutengeneza vyakula vya nyongeza kwa watoto wenye umri chini ya miakaa mitano, wakiangalia mojawapo ya mashine ambayo itatumika katika uzalishaji wa vyakula hivyo, mara baada ya kutembelea eneo la kiwanda kitachotumika kuzalisha malighafi zitakazotumika kuandalia vyakula nyongeza, katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine. Makamu Mkuu wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili Prof. Andrea Pembe akisikiliza